John 20:3 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Petro pamoja na yule mwanafunzi mwingine wakaenda kaburini.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Petro na yule mwanafunzi mwingine wakaondoka mara moja kuelekea kaburini.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Basi Petro akatoka, na yule mwanafunzi mwingine, wakashika njia kwenda kaburini.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Kwa hiyo Petro na yule mfuasi mwingine wakaanza kuelekea kwenye kaburi.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Petro pamoja na yule mwanafunzi mwingine wakaenda kaburini.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Petro pamoja na yule mwanafunzi mwingine wakaenda kaburini.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Petro na yule mwanafunzi mwingine wakaondoka mara kuelekea kaburini.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Petro na yule mwanafunzi mwingine wakaondoka mara kuelekea kaburini.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Basi Petro akatoka, na yule mwanafunzi mwingine, wakashika njia kwenda kaburini.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Petro pamoja na yule mwanafunzi mwingine wakaenda kaburini.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Ndipo, Petero na yule mwanafunzi mwingine walipoondoka kwenda kaburini,
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Basi Petro akatoka, na yule mwanafunzi mwingine, wakashika njia kwenda kaburini.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Basi Petro na yule mwanafunzi mwingine wakaondoka na kwenda kwenye kaburi.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Bassi Petro akatoka, na mwanafunzi yule mwingine, wakashika njia kwenda kaburini.