John 21:10 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Yesu akawaambia, “Leteni hapa baadhi ya samaki mliovua.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Isa akawaambia, “Leteni baadhi ya hao samaki mliovua sasa hivi.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Yesu akawaambia, Leteni hapa baadhi ya samaki mliowavua sasa hivi.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Kisha Yesu akasema leteni baadhi ya samaki mliowavua.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Yesu akawaambia, “Leteni hapa baadhi ya samaki mliovua.”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Yesu akawaambia, “Leteni hapa baadhi ya samaki mliovua.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Yesu akawaambia, “Leteni baadhi ya hao samaki mliovua sasa hivi.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Isa akawaambia, “Leteni baadhi ya hao samaki mliovua sasa hivi.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Yesu akawaambia, Leteni hapa baadhi ya samaki mliowavua sasa hivi.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Yesu akawaambia, “Leteni hapa baadhi ya samaki mliovua.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Yesu akawaambia: Leteni kidogo katika visamaki hivyo, mlivyovivua sasa hivi!
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Yesu akawaambia, Leteni hapa baadhi ya samaki mliowavua sasa hivi.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Yesu akawaambia: “Mulete sehemu ya samaki munaotoka kuvua.”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Yesu akawaambia, Leteni hapa baadhi ya samaki mlizozivua sasa hivi.