John 3:6 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mtu huzaliwa kimwili kwa baba na mama, lakini huzaliwa kiroho kwa Roho.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mwili huzaa mwili, lakini Roho huzaa roho.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kilichozaliwa kwa mwili ni mwili; na kilichozaliwa kwa Roho ni roho.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Maisha pekee ambayo watu huyapata kutoka kwa wazazi wao ni ya kimwili. Lakini maisha mapya anayopewa mtu na Roho ni ya kiroho.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Mtu huzaliwa kimwili kwa baba na mama, lakini huzaliwa kiroho kwa Roho.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mtu huzaliwa kimwili kwa baba na mama, lakini huzaliwa kiroho kwa Roho.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Mwili huzaa mwili, lakini Roho huzaa roho.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Mwili huzaa mwili, lakini Roho huzaa roho.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kilichozaliwa kwa mwili ni mwili; na kilichozaliwa kwa Roho ni roho.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mtu huzaliwa kimwili kwa baba na mama, lakini huzaliwa kiroho kwa Roho.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
kilichozaliwa na mwili ni mwili, nacho kilichozaliwa na Roho ni roho.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kilichozaliwa kwa mwili ni mwili; na kilichozaliwa kwa Roho ni roho.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kinachozaliwa na mutu ni cha kimwili, nacho kinachozaliwa na Roho ni cha kiroho.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Kilichozaliwa kwa mwili ni mwili; na kilichozaliwa kwa Roho ni roho.