John 4:13 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Yesu akamjibu, “Kila anayekunywa maji haya ataona kiu tena.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Isa akamjibu, “Kila mtu anayekunywa maji ya kisima hiki ataona kiu tena.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Yesu akajibu, akamwambia, Kila anywaye maji haya ataona kiu tena;
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Yesu akajibu, “Kila anayekunywa maji haya ataona kiu tena.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Yesu akamjibu, “Kila anayekunywa maji haya ataona kiu tena.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Yesu akamjibu, “Kila anayekunywa maji haya ataona kiu tena.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Yesu akamjibu, “Kila mtu anayekunywa maji ya kisima hiki, ataona kiu tena.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Isa akamjibu, “Kila mtu anayekunywa maji ya kisima hiki, ataona kiu tena.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Yesu akajibu, akamwambia, Kila anywaye maji haya ataona kiu tena;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Yesu akamjibu, “Kila anayekunywa maji haya ataona kiu tena.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Yesu akajibu, akamwambia: Kila anayeyanywa maji haya ataona kiu tena;
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Yesu akajibu, akamwambia, Kila anywaye maji haya ataona kiu tena;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Yesu akamujibu: “Kila mutu anayekunywa maji haya atasikia kiu tena;
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Yesu akajibu, akamwambia, Killa anywae maji haya ataona kiu tena: