John 4:2 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
(Lakini ukweli ni kwamba Yesu hakuwa anabatiza ila wanafunzi wake.)
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
ingawa kwa kweli si Isa mwenyewe aliyekuwa akibatiza, ila ni wanafunzi wake.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
(lakini Yesu mwenyewe hakubatiza, bali wanafunzi wake,)
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
(Lakini kwa hakika, Yesu mwenyewe hakumbatiza mtu yeyote huko; bali wafuasi wake ndiyo waliowabatiza watu kwa niaba yake.)
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
(Lakini ukweli ni kwamba Yesu hakuwa anabatiza ila wanafunzi wake.)
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
(Lakini ukweli ni kwamba Yesu hakuwa anabatiza ila wanafunzi wake.)
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
ingawa kwa kweli si Yesu mwenyewe aliyekuwa akibatiza, ila ni wanafunzi wake.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
ingawa kwa kweli si Isa mwenyewe aliyekuwa akibatiza, ila ni wanafunzi wake.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
(lakini Yesu mwenyewe hakubatiza, bali wanafunzi wake)
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
(Lakini ukweli ni kwamba Yesu hakuwa anabatiza ila wanafunzi wake.)
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
ijapo Yesu mwenyewe hakubatiza mtu, ni wanafunzi wake tu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
(lakini Yesu mwenyewe hakubatiza, bali wanafunzi wake,)
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
(Hakika Yesu mwenyewe hakubatiza mutu lakini ni wanafunzi wake.)
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
(lakini Yesu mwenyewe hakuhatiza, hali wanafunzi wake),