John 4:32 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Lakini Yesu akawaambia, “Mimi ninacho chakula msichokijua nyinyi.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Lakini yeye akawajibu, “Mimi ninacho chakula ambacho ninyi hamkifahamu.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Akawaambia, Mimi ninacho chakula msichokijua ninyi.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Lakini Yesu akawajibu, “Mimi ninacho chakula ambacho ninyi hamkijui.”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Lakini Yesu akawaambia, “Mimi ninacho chakula msichokijua ninyi.”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Lakini Yesu akawaambia, “Mimi ninacho chakula msichokijua nyinyi.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Lakini yeye akawajibu, “Mimi ninacho chakula ambacho ninyi hamkifahamu.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Lakini yeye akawajibu, “Mimi ninacho chakula ambacho ninyi hamkifahamu.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Akawaambia, Mimi ninacho chakula msichokijua ninyi.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Lakini Yesu akawaambia, “Mimi ninacho chakula msichokijua nyinyi.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Alipowaambia: Mimi ninacho chakula, msichokijua ninyi,
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Akawaambia, Mimi ninacho chakula msichokijua ninyi.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Lakini akawajibu: “Mimi nina chakula musichokijua.”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Akawaambia, Mimi nina chakula msichokijua ninyi.