John 4:33 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Wanafunzi wake wakaulizana, “Je, kuna mtu aliyemletea chakula?”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Basi wanafunzi wakaanza kuulizana, “Kuna mtu ambaye amemletea chakula?”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Basi wanafunzi wake wakasemezana, Je! Mtu amemletea chakula?
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Hapo wafuasi wake wakaulizana, “Kwani kuna mtu yeyote hapa aliyemletea chakula mapema?”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Wanafunzi wake wakaulizana, “Je, kuna mtu aliyemletea chakula?”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Wanafunzi wake wakaulizana, “Je, kuna mtu aliyemletea chakula?”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Basi wanafunzi wakaanza kuulizana, “Kuna mtu ambaye amemletea chakula?”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Basi wanafunzi wakaanza kuulizana, “Kuna mtu ambaye amemletea chakula?”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Basi wanafunzi wake wakasemezana, Je! Mtu amemletea chakula?
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Wanafunzi wake wakaulizana, “Je, kuna mtu aliyemletea chakula?”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
wanafunzi wakasemezana: Yuko mtu aliyemletea chakula?
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Basi wanafunzi wake wakasemezana, Je! Mtu amemletea chakula?
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Basi wanafunzi wakaanza kuulizana: “Kuna mutu aliyemuletea chakula?”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Bassi wanafunzi wake wakasemezana, Je! mtu amemletea chakula?

Recommended Reading