John 4:43 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Baada ya siku mbili Yesu aliondoka hapo, akaenda Galilaya.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Baada ya zile siku mbili, Isa aliondoka kwenda Galilaya.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Na baada ya siku mbili hizo akaondoka huko, akaenda Galilaya.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Siku mbili baadaye Yesu akaondoka na kwenda Galilaya.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Baada ya siku mbili Yesu aliondoka hapo, akaenda Galilaya.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Baada ya siku mbili Yesu aliondoka hapo, akaenda Galilaya.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Baada ya zile siku mbili, Yesu aliondoka kwenda Galilaya.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Baada ya zile siku mbili, Isa aliondoka kwenda Galilaya.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Na baada ya siku mbili hizo akaondoka huko, akaenda Galilaya.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Baada ya siku mbili Yesu aliondoka hapo, akaenda Galilaya.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Siku mbili zilipopita, akatoka huko kwenda Galilea.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Na baada ya siku mbili hizo akaondoka huko, akaenda Galilaya.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Siku mbili zilipopita, Yesu akaondoka kule, akaenda Galilaya.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Baada ya siku hizo mbili akaondoka huko, akaenda Galilaya.