John 4:44 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Maana Yesu mwenyewe alisema waziwazi kwamba, “Nabii hapati heshima katika nchi yake.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
(Basi Isa mwenyewe alikuwa amesema kwamba nabii hapati heshima katika nchi yake mwenyewe.)
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kwa maana Yesu mwenyewe alishuhudia ya kwamba nabii hapati heshima katika nchi yake mwenyewe.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
(Yesu alikwishasema mwanzoni kwamba nabii huwa haheshimiwi katika nchi yake.)
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Maana Yesu mwenyewe alisema waziwazi kwamba, “Nabii hapati heshima katika nchi yake.”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Maana Yesu mwenyewe alisema waziwazi kwamba, “Nabii hapati heshima katika nchi yake.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
(Basi Yesu mwenyewe alikuwa amesema kwamba nabii hapati heshima katika nchi yake mwenyewe.)
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
(Basi Isa mwenyewe alikuwa amesema kwamba nabii hapati heshima katika nchi yake mwenyewe.)
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kwa maana Yesu mwenyewe alishuhudia ya kwamba nabii hapati heshima katika nchi yake mwenyewe.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Maana Yesu mwenyewe alisema waziwazi kwamba, “Nabii hapati heshima katika nchi yake.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwani Yesu mwenyewe alishuhudia, ya kuwa mfumbuaji haheshimiwi kwao, mwenyewe alikokulia.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kwa maana Yesu mwenyewe alishuhudia ya kwamba nabii hapati heshima katika nchi yake mwenyewe.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Yesu mwenyewe alikuwa ameshuhudia kwamba nabii haheshimiwi katika inchi yake mwenyewe,
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Kwa maana Yesu mwenyewe alishuhudu ya kwamba nabii hana heshima katika inchi yake mwenyewe.