John 4:48 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Yesu akamwambia, “Msipoona ishara na maajabu hamtaamini!”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Isa akamwambia, “Ninyi watu msipoona ishara na miujiza kamwe hamtaamini.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Basi Yesu akamwambia, Msipoona ishara na maajabu hamtaamini kabisa?
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Yesu akamwambia, “Ninyi watu ni lazima muone ishara zenye miujiza na maajabu kabla ya kuniamini.”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Yesu akamwambia, “Msipoona ishara na maajabu hamtaamini!”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Yesu akamwambia, “Msipoona ishara na maajabu hamtaamini!”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Yesu akamwambia, “Ninyi watu msipoona ishara na miujiza kamwe hamtaamini.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Isa akamwambia, “Ninyi watu msipoona ishara na miujiza kamwe hamtaamini.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Basi Yesu akamwambia, Msipoona ishara na maajabu hamtaamini kabisa?
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Yesu akamwambia, “Msipoona ishara na maajabu hamtaamini!”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Lakini Yesu akamwambia: Msipoona vielekezo na vioja hamnitegemei.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Basi Yesu akamwambia, Msipoona ishara na maajabu hamtaamini kabisa?
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Basi Yesu akamwambia: “Ninyi hamuwezi kuamini hata kidogo kama musipoona vitambulisho na maajabu.”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Bassi Yesu akamwambia, Msipoona ishara na maajabu hamtaamini kabisa.