John 4:7 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Basi, mwanamke mmoja Msamaria akafika kuteka maji. Yesu akamwambia, “Nipatie maji ninywe.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mwanamke mmoja Msamaria alipokuja kuteka maji, Isa akamwambia, “Naomba maji ninywe.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Akaja mwanamke Msamaria kuteka maji. Yesu akamwambia, Nipe maji ninywe.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Baadaye mwanamke Msamaria akaja kisimani hapo kuchota maji, na Yesu akamwambia, “Tafadhali nipe maji ninywe.”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Basi, mwanamke mmoja Msamaria akafika kuteka maji. Yesu akamwambia, “Nipatie maji ninywe.”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Basi, mwanamke mmoja Msamaria akafika kuteka maji. Yesu akamwambia, “Nipatie maji ninywe.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Mwanamke mmoja Msamaria akaja kuteka maji, Yesu akamwambia, “Naomba maji ninywe.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Mwanamke mmoja Msamaria akaja kuteka maji, Isa akamwambia, “Naomba maji ninywe.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Akaja mwanamke Msamaria kuteka maji. Yesu akamwambia, Nipe maji ninywe.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Basi, mwanamke mmoja Msamaria akafika kuteka maji. Yesu akamwambia, “Nipatie maji ninywe.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Alipokuja mwanamke Msamaria kuchota maji, Yesu akamwambia: Nipe, ninywe!
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Akaja mwanamke Msamaria kuteka maji. Yesu akamwambia, Nipe maji ninywe.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Halafu mwanamuke mumoja Musamaria akakuja kuteka maji. Na Yesu akamwambia: “Unipe maji ya kunywa.”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Akaja mwanamke wa Kisamaria kuteka maji. Yesu akamwambia, Nipe maji ninywe.