John 4:8 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
(Wakati huo wanafunzi wake walikuwa wamekwenda mjini kununua chakula.)
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
(Wakati huo wanafunzi wake walikuwa wameenda mjini kununua chakula.)
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kwa maana wanafunzi wake wamekwenda mjini kununua chakula.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Hili lilitokea wakati wafuasi wake walipokuwa mjini kununua chakula.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
(Wakati huo wanafunzi wake walikuwa wamekwenda mjini kununua chakula.)
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
(Wakati huo wanafunzi wake walikuwa wamekwenda mjini kununua chakula.)
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
(Wakati huo wanafunzi wake walikuwa wamekwenda mjini kununua chakula.)
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
(Wakati huo wanafunzi wake walikuwa wamekwenda mjini kununua chakula.)
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kwa maana wanafunzi wake wamekwenda mjini kununua chakula.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
(Wakati huo wanafunzi wake walikuwa wamekwenda mjini kununua chakula.)
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
kwani wanafunzi wake walikuwa wamekwenda mjini kununua chakula.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kwa maana wanafunzi wake wamekwenda mjini kununua chakula.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
(Wakati ule wanafunzi wake walikuwa wamekwenda katika muji kununua vyakula.)
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Maana wanafunzi wake wamekwenda mjini wanunue chakula.