John 5:15 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Huyo mtu akaenda, akawaambia viongozi wa Wayahudi kwamba Yesu ndiye aliyemponya.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Yule mtu akaenda, akawaambia wale viongozi wa Wayahudi kuwa ni Isa aliyemponya.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Yule mtu akaenda zake, akawapasha habari Wayahudi ya kwamba ni Yesu aliyemfanya kuwa mzima.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Kisha huyo mtu akaondoka na kurudi kwa wale Wayahudi waliomuuliza. Naye aliwaeleza kuwa Yesu ndiye aliyemponya.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Huyo mtu akaenda, akawaambia viongozi wa Wayahudi kwamba Yesu ndiye aliyemponya.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Huyo mtu akaenda, akawaambia viongozi wa Wayahudi kwamba Yesu ndiye aliyemponya.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Yule mtu akaenda, akawaambia wale Wayahudi kuwa ni Yesu aliyemponya.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Yule mtu akaenda, akawaambia wale Wayahudi kuwa ni Isa aliyemponya.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Yule mtu akaenda zake, akawapasha habari Wayahudi ya kwamba ni Yesu aliyemfanya kuwa mzima.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Huyo mtu akaenda, akawaambia viongozi wa Wayahudi kwamba Yesu ndiye aliyemponya.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Ndipo, yule mtu alipoondoka, akawaambia Wayuda: Ni Yesu aliyenipa kuwa mzima.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Yule mtu akaenda zake, akawapasha habari Wayahudi ya kwamba ni Yesu aliyemfanya kuwa mzima.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Yule mutu akaenda kuwaambia Wayuda kwamba Yesu ndiye aliyemuponyesha.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Yule mtu akaenda zake, akawapasha Wayahudi khabari ya kwamba Yesu ndiye aliyemfanya kuwa mzima.