John 5:27 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Tena amempa mamlaka ya kuhukumu kwa sababu yeye ni Mwana wa Mtu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Naye amempa Mwanawe mamlaka ya kuhukumu kwa kuwa yeye ni Mwana wa Adamu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Naye akampa amri ya kufanya hukumu kwa sababu ni Mwana wa Adamu.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Na Baba amempa Mwana mamlaka ya kuwahukumu watu wote kwa sababu yeye ndiye Mwana wa Adamu.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Tena amempa mamlaka ya kuhukumu kwa sababu yeye ni Mwana wa Mtu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Tena amempa mamlaka ya kuhukumu kwa sababu yeye ni Mwana wa Mtu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Naye amempa Mwanawe mamlaka ya kuhukumu kwa kuwa yeye ni Mwana wa Adamu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Naye amempa Mwanawe mamlaka ya kuhukumu kwa kuwa yeye ni Mwana wa Adamu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Naye akampa amri ya kufanya hukumu kwa sababu ni Mwana wa Adamu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Tena amempa mamlaka ya kuhukumu kwa sababu yeye ni Mwana wa Mtu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Akampa nao uwezo wa kuhukumu, kwani ndiye Mwana wa mtu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Naye akampa amri ya kufanya hukumu kwa sababu ni Mwana wa Adamu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Vilevile amemupa Mwana mamlaka ya kuhukumu, kwa sababu yeye ni Mwana wa Mutu.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
akampa mamlaka ya kufanya hukumu kwa sababu yu Mwana wa Adamu.