John 6:18 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Ziwa likaanza kuchafuka kwa sababu upepo mkali ulikuwa unavuma.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Bahari ikachafuka kwa sababu upepo mkali ulikuwa unavuma.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Na bahari ikaanza kuchafuka kwa kuvuma upepo mkuu.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Upepo ulikuwa unavuma kwa nguvu sana. Mawimbi ziwani yakawa makubwa.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Ziwa likaanza kuchafuka kwa sababu upepo mkali ulikuwa unavuma.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Ziwa likaanza kuchafuka kwa sababu upepo mkali ulikuwa unavuma.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Bahari ikachafuka kwa sababu upepo mkali ulikuwa unavuma.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Bahari ikachafuka kwa sababu upepo mkali ulikuwa unavuma.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Na bahari ikaanza kuchafuka kwa kuvuma upepo mkuu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Ziwa likaanza kuchafuka kwa sababu upepo mkali ulikuwa unavuma.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Namo baharini mkainuka mawimbi kwa upepo uliovuma na nguvu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Na bahari ikaanza kuchafuka kwa kuvuma upepo mkuu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Ziwa likaanza kuchafuka sana; kwa sababu upepo ulikuwa ukivuma kwa nguvu.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Bahari ikaanza kuchafuka, upepo mwingi ukivuma.