John 6:36 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Lakini niliwaambieni kwamba ingawa mmeniona hamniamini.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Lakini kama nilivyowaambia, mmeniona lakini bado hamwamini.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Lakini naliwaambia ya kwamba mmeniona wala hamwamini.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Nilikwisha kuwaambia mapema kuwa mmeona kile ambacho naweza kufanya, lakini bado hamuniamini.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Lakini niliwaambieni kwamba ingawa mmeniona hamniamini.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Lakini niliwaambieni kwamba ingawa mmeniona hamniamini.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Lakini kama nilivyowaambia, mmeniona lakini bado hamwamini.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Lakini kama nilivyowaambia, mmeniona lakini bado hamwamini.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Lakini niliwaambia ya kwamba mmeniona wala hamwamini.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Lakini niliwaambieni kwamba ingawa mmeniona hamniamini.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Lakini ndivyo, nilivyowaambia: Mmeniona, lakini hamnitegemei.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Lakini naliwaambia ya kwamba mmeniona wala hamwamini.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Lakini kama nilivyowaambia: mumeniona, lakini ijapokuwa vile hamuamini.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Lakini naliwaambieni ya kwamba mmeniona bila kuniamini.