John 6:47 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Kweli, nawaambieni, anayeamini anao uhai wa milele.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Amin, amin nawaambia, yeye anayeamini anao uzima wa milele.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Amin, amin, nawaambia, Yeye aaminiye yuna uzima wa milele.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Hakika nawaambieni kila anayeamini anao uzima wa milele.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Kweli, nawaambieni, anayeamini anao uzima wa milele.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Kweli, nawaambieni, anayeamini anao uhai wa milele.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Amin, amin nawambia, yeye anayeamini anao uzima wa milele.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Amin, amin nawaambia, yeye anayeamini anao uzima wa milele.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Amin, amin, nawaambia, Yeye aaminiye anao uzima wa milele.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Kweli, nawaambieni, anayeamini anao uhai wa milele.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
*Kweli kweli nawaambiani: Anitegemeaye anao uzima wa kale na kale.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Amin, amin, nawaambia, Yeye aaminiye yuna uzima wa milele.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kweli, kweli ninawaambia: anayeamini anapata uzima wa milele.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Amin, amin, nawaambieni, Yeye aniaminiye mimi ana uzima wa milele.