John 6:49 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Wazee wenu walikula mana kule jangwani, lakini walikufa.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Baba zenu walikula mana jangwani, lakini wakafa.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Baba zenu waliila mana jangwani; wakafa.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Baba zenu walikula mana waliyopewa na Mungu kule jangwani, lakini haikuwazuia kufa.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Wazee wenu walikula mana kule jangwani, lakini walikufa.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Wazee wenu walikula mana kule jangwani, lakini walikufa.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Baba zenu walikula mana jangwani, lakini wakafa.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Baba zenu walikula mana jangwani, lakini wakafa.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Baba zenu waliila mana jangwani; wakafa.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Wazee wenu walikula mana kule jangwani, lakini walikufa.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Baba zenu walikula Mana jangwani, kisha wakafa.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Baba zenu waliila mana jangwani; wakafa.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Babu zenu walikula mana katika jangwa, lakini wakakufa.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Baba zetu waliila manna jangwani wakafa.