John 6:59 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Yesu alisema hayo alipokuwa akifundisha katika sunagogi kule Kafarnaumu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Isa alisema maneno haya alipokuwa akifundisha katika sinagogi huko Kapernaumu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Maneno hayo aliyasema katika sinagogi, alipokuwa akifundisha, huko Kapernaumu.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Yesu aliyasema haya yote alipokuwa akifundisha kwenye Sinagogi katika mji wa Kapernaumu.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Yesu alisema hayo alipokuwa akifundisha katika sunagogi kule Kafarnaumu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Yesu alisema hayo alipokuwa akifundisha katika sunagogi kule Kafarnaumu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Yesu alisema maneno haya alipokuwa akifundisha katika sinagogi huko Kapernaumu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Isa alisema maneno haya alipokuwa akifundisha katika sinagogi huko Kapernaumu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Maneno hayo aliyasema katika sinagogi, alipokuwa akifundisha, huko Kapernaumu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Yesu alisema hayo alipokuwa akifundisha katika sunagogi kule Kafarnaumu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Maneno haya aliyasema akifundisha nyumbani mwa kuombea huko Kapernaumu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Maneno hayo aliyasema katika sinagogi, alipokuwa akifundisha, huko Kapernaumu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Yesu alisema maneno haya wakati alipokuwa akifundisha katika nyumba ya kuabudia kule Kapernaumu.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Maneno haya aliyasema sunagogini, alipokuwa akifundisha huko Kapenaum.