John 6:67 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Basi, Yesu akawauliza wale kumi na wawili, “Je, nanyi pia mwataka kwenda zenu?”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Hivyo Isa akawauliza wale wanafunzi wake kumi na wawili, “Je, ninyi pia mnataka kuondoka?”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Basi Yesu akawaambia wale Thenashara, Je! Ninyi nanyi mwataka kuondoka?
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Yesu akawauliza wale mitume kumi na wawili, “Nanyi pia mnataka kuondoka?”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Basi, Yesu akawauliza wale kumi na wawili, “Je, nanyi pia mwataka kwenda zenu?”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Basi, Yesu akawauliza wale kumi na wawili, “Je, nanyi pia mwataka kwenda zenu?”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Hivyo Yesu akawauliza wale wanafunzi wake kumi na wawili, “Je, ninyi pia mnataka kuondoka?”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Hivyo Isa akawauliza wale wanafunzi wake kumi na wawili, “Je, ninyi pia mnataka kuondoka?”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Basi Yesu akawaambia wale Kumi na Wawili, Je! Ninyi nanyi mnataka kuondoka?
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Basi, Yesu akawauliza wale kumi na wawili, “Je, nanyi pia mwataka kwenda zenu?”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Yesu alipowauliza wale kumi na wawili: Nanyi mwataka kujiendea?
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Basi Yesu akawaambia wale Thenashara, Je! Ninyi nanyi mwataka kuondoka?
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kwa hiyo Yesu akawauliza wale wanafunzi kumi na wawili: “Nanyi munataka kwenda vilevile?”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Bassi Yesu akawaambia wathenashara, Ninyi nanyi mnataka kuondoka?