John 6:69 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Sisi tunaamini, na tunajua kwamba wewe ndiwe yule Mtakatifu wa Mungu”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Tunaamini na kujua kuwa wewe ndiwe Aliye Mtakatifu wa Mungu.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Nasi tumesadiki, tena tumejua, ya kuwa wewe ndiwe Mtakatifu wa Mungu.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Sisi tunakuamini wewe. Tunafahamu kwamba wewe ndiye Yule Mtakatifu atokaye kwa Mungu.”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Sisi tunaamini, na tunajua kwamba wewe ndiwe yule Mtakatifu wa Mungu.”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Sisi tunaamini, na tunajua kwamba wewe ndiwe yule Mtakatifu wa Mungu”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Tunaamini na kujua kuwa wewe ndiwe Kristo Mwana wa Mungu aliye hai.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Tunaamini na kujua kuwa wewe ndiwe Aliye Mtakatifu wa Mungu.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Nasi tumeamini, tena tumejua, ya kuwa wewe ndiwe Mtakatifu wa Mungu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Sisi tunaamini, na tunajua kwamba wewe ndiwe yule Mtakatifu wa Mungu”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Nasi tumekutegemea, tukatambua, ya kuwa wewe ndiwe Kristo, Mwana wake Mungu Mwenye uzima.*
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Nasi tumesadiki, tena tumejua, ya kuwa wewe ndiwe Mtakatifu wa Mungu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Na sasa tunaamini na kujua kwamba wewe ni Mutakatifu wa Mungu.”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Nasi tumeamini, tena tumejua ya kuwa wewe ndiwe Kristo, Mwana wa Mungu aliye hayi.