John 7:24 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Msihukumu mambo kwa nje tu; toeni hukumu ya haki.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Acheni kuhukumu mambo kwa jinsi mnavyoona tu, bali hukumuni kwa haki.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Basi msihukumu hukumu ya macho tu, bali ifanyeni hukumu iliyo ya haki.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Acheni kuhukumu mambo ya watu kwa jinsi mnavyoyaona. Muwe makini kutoa kuhukumu kwa njia ya haki kabisa.”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Msihukumu mambo kwa nje tu; toeni hukumu ya haki.”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Msihukumu mambo kwa nje tu; toeni hukumu ya haki.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Acheni kuhukumu mambo kwa jinsi mnavyoona tu, bali hukumuni kwa haki.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Acheni kuhukumu mambo kwa jinsi mnavyoona tu, bali hukumuni kwa haki.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Basi msihukumu kwa kuangalia kwa nje tu, bali ifanyeni hukumu iliyo ya haki.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Msihukumu mambo kwa nje tu; toeni hukumu ya haki.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Msiumbue kwa hivyo tu, mnavyoviona, ila umbueni maumbufu yapasayo!
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Basi msihukumu hukumu ya macho tu, bali ifanyeni hukumu iliyo ya haki.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Muache kuhukumu kufuatana na hali ya inje, lakini muhukumu kwa haki.”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Msihukumu hukumu ya macho, bali ifanyeni hukumu iliyo ya haki.