John 7:29 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Lakini mimi namjua kwa sababu nimetoka kwake, naye ndiye aliyenituma.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mimi namjua kwa kuwa nimetoka kwake, naye ndiye alinituma.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Mimi namjua, kwa kuwa nimetoka kwake, naye ndiye aliyenituma.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Mimi namfahamu kwa sababu ninatoka kwake. Naye Ndiye aliyenituma.”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Lakini mimi namjua kwa sababu nimetoka kwake, naye ndiye aliyenituma.”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Lakini mimi namjua kwa sababu nimetoka kwake, naye ndiye aliyenituma.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Mimi namjua kwa kuwa nimetoka kwake, naye ndiye aliyenituma.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Mimi namjua kwa kuwa nimetoka kwake, naye ndiye alinituma.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Mimi namjua, kwa kuwa nimetoka kwake, naye ndiye aliyenituma.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Lakini mimi namjua kwa sababu nimetoka kwake, naye ndiye aliyenituma.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mimi ninamjua, kwani nimetoka kwake, naye amenituma.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Mimi namjua, kwa kuwa nimetoka kwake, naye ndiye aliyenituma.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
lakini mimi ninamujua sababu nilitoka kwake, naye ndiye aliyenituma.”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Lakini mimi namjua, kwa kuwa nimetoka kwake, nae ndiye aliyenituma.