John 7:44 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Baadhi ya watu walitaka kumtia nguvuni lakini hakuna aliyejaribu kumkamata.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Baadhi yao walitaka kumkamata, lakini hakuna aliyethubutu kumgusa.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Baadhi yao wakataka kumkamata, lakini hakuna mtu aliyenyosha mikono yake ili kumshika.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Baadhi yao wakataka kumkamata. Lakini hakuna aliyejaribu kufanya hivyo.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Baadhi ya watu walitaka kumtia nguvuni lakini hakuna aliyejaribu kumkamata.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Baadhi ya watu walitaka kumtia nguvuni lakini hakuna aliyejaribu kumkamata.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Baadhi yao walitaka kumkamata, lakini hakuna aliyethubutu kumgusa.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Baadhi yao walitaka kumkamata, lakini hakuna aliyethubutu kumgusa.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Baadhi yao wakataka kumkamata, lakini hakuna mtu aliyenyosha mikono yake ili kumshika.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Baadhi ya watu walitaka kumtia nguvuni lakini hakuna aliyejaribu kumkamata.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Wenzao wengine walitaka kumkamata, lakini hakuna aliyemnyoshea mikono.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Baadhi yao wakataka kumkamata, lakini hakuna mtu aliyenyosha mikono yake ili kumshika.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Wengine katikati yao walitaka kumufunga, lakini hakuna mutu aliyemukamata.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Baadhi yao wakataka kumkamata, lakini hapana mtu aliyenyosha mkono wake illi kumshika.

Recommended Reading