John 7:46 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Walinzi wakawajibu, “Hakuna mtu aliyepata kamwe kusema kama asemavyo mtu huyu!”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Wale walinzi wakajibu, “Kamwe hajanena mtu yeyote kama yeye anenavyo.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Wale watumishi wakajibu. Hajanena kamwe mtu ye yote kama huyu anavyonena.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Walinzi wa Hekalu wakajibu, “Hatujawahi kumsikia mtu akisema mambo ya ajabu kiasi hicho!”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Walinzi wakawajibu, “Hakuna mtu aliyepata kamwe kusema kama asemavyo mtu huyu!”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Walinzi wakawajibu, “Hakuna mtu aliyepata kamwe kusema kama asemavyo mtu huyu!”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Wale walinzi wakajibu, “Kamwe hajanena mtu ye yote kama yeye anenavyo.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Wale walinzi wakajibu, “Kamwe hajanena mtu yeyote kama yeye anenavyo.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Wale watumishi wakajibu. Hajanena kamwe mtu yeyote kama huyu anavyonena.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Walinzi wakawajibu, “Hakuna mtu aliyepata kamwe kusema kama asemavyo mtu huyu!”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
watumishi wakajibu: Tangu kale mtu hajasema hivyo kama mtu huyo anavyosema.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Wale watumishi wakajibu. Hajanena kamwe mtu ye yote kama huyu anavyonena.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Walinzi wakajibu: “Hatujasikia mutu akisema sawasawa na mutu yule!”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Wale watumishi wakajibu, Hajanena kamwe mwana Adamu aliye yote kama huyu anavyonena.