John 7:50 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mmoja wao alikuwa Nikodemo ambaye hapo awali alikuwa amemwendea Yesu. Basi, yeye akawaambia,
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Ndipo Nikodemo, yule aliyekuwa amemwendea Isa siku moja usiku, na alikuwa mmoja wao, akauliza,
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Akawaambia Nikodemo, (naye ni yule aliyemwendea zamani, maana ni mmoja wao),
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Lakini Nikodemu alikuwa katika kundi lile. Naye ndiye yule aliyekwenda kumwona Yesu pale mwanzo. Naye akasema,
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Mmoja wao alikuwa Nikodemo ambaye hapo awali alikuwa amemwendea Yesu. Basi, yeye akawaambia,
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mmoja wao alikuwa Nikodemo ambaye hapo awali alikuwa amemwendea Yesu. Basi, yeye akawaambia,
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Ndipo Nikodemo, yule aliyekuwa amemwendea Yesu siku moja usiku, ambaye alikuwa mmoja wao akauliza,
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Ndipo Nikodemo, yule aliyekuwa amemwendea Isa siku moja usiku, ambaye alikuwa mmoja wao akauliza,
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Nikodemo, (naye ni yule aliyemwendea zamani, maana ni mmoja wao), akawaambia,
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mmoja wao alikuwa Nikodemo ambaye hapo awali alikuwa amemwendea Yesu. Basi, yeye akawaambia,
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Ndipo, Nikodemo aliyemjia siku zile usiku, aliyekuwa mmoja wao, alipowaambia:
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Akawaambia Nikodemo, (naye ni yule aliyemwendea zamani, maana ni mmoja wao),
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Nikodemo, yule aliyekuwa amemwendea Yesu mbele, alikuwa mumoja wa Wafarisayo waliokuwa pale. Akawaambia:
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Akawaambia Nikodemo (ni yule aliyemwendea usiku, maana ni mmojawapo wao),