John 7:51 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
“Je, sheria yetu humhukumu mtu kabla ya kumsikia kwanza na kujua anafanya nini?”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
“Je, sheria zetu zinaturuhusu kumhukumu mtu kabla ya kumsikiliza na kufahamu alilotenda?”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Je! Torati yetu humhukumu mtu kabla ya kumsikia kwanza, na kujua atendavyo?
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
“Sheria yetu haitaturuhusu kumhukumu mtu na kumtia hatiani kabla ya kumsikiliza kwanza na kuyaona aliyotenda?”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
“Je, Sheria yetu humhukumu mtu kabla ya kumsikia kwanza na kujua anafanya nini?”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
“Je, sheria yetu humhukumu mtu kabla ya kumsikia kwanza na kujua anafanya nini?”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
“Je, sheria zetu zinaturuhusu kumhukumu mtu kabla ya kumsikiliza na kufahamu alilotenda?”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
“Je, sheria zetu zinaturuhusu kumhukumu mtu kabla ya kumsikiliza na kufahamu alilotenda?”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Je! Torati yetu humhukumu mtu kabla ya kumsikia kwanza, na kujua atendavyo?
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
“Je, sheria yetu humhukumu mtu kabla ya kumsikia kwanza na kujua anafanya nini?”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Maonyo yetu huhukumu mtu, asiposikiwa kwanza, yatambulikane aliyoyatenda?
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Je! Torati yetu humhukumu mtu kabla ya kumsikia kwanza, na kujua atendavyo?
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
“Kufuatana na Sheria, hatuwezi kumuhukumu mutu mbele ya kumusikiliza na kujua yale aliyofanya.”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Je! sharia yetu humhukumti mtu kabla ya kumsikia kwanza na kujua atendavyo?