John 8:30 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Baada ya kusema hayo watu wengi walimwamini.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Wengi waliomsikia Isa akisema maneno haya wakamwamini.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Naye alipokuwa akisema hayo, wengi walimwamini.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Yesu alipokuwa akisema mambo haya, watu wengi wakamwamini.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Baada ya kusema hayo watu wengi walimwamini.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Baada ya kusema hayo watu wengi walimwamini.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Wengi waliomsikia Yesu akisema maneno haya wakamwamini.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Wengi waliomsikia Isa akisema maneno haya wakamwamini.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Naye alipokuwa akisema hayo, wengi walimwamini.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Baada ya kusema hayo watu wengi walimwamini.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Alipoyasema haya, wengi wakamtegemea.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Naye alipokuwa akisema hayo, wengi walimwamini.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Alipokuwa akisema maneno haya, watu wengi wakamwamini.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Alipokuwa akisema haya, wengi walimwamini.