John 8:32 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mtaujua ukweli, nao ukweli utawapeni uhuru.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Ndipo mtaijua kweli, nayo kweli itawaweka huru.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
tena mtaifahamu kweli, nayo hiyo kweli itawaweka huru.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Mtaijua kweli, na kweli hiyo itawafanya muwe huru.”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Mtaujua ukweli, nao ukweli utawapeni uhuru.”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mtaujua ukweli, nao ukweli utawapeni uhuru.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Ndipo mtaijua kweli nayo kweli itawaweka huru.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Ndipo mtaijua kweli nayo kweli itawaweka huru.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
tena mtaifahamu kweli, nayo hiyo kweli itawaweka huru.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mtaujua ukweli, nao ukweli utawapeni uhuru.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
mwitambue iliyo ya kweli, nayo iliyo ya kweli itawakomboa.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
tena mtaifahamu kweli, nayo hiyo kweli itawaweka huru.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Halafu mutajua ukweli, na ukweli utawaweka huru.”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
tena mtaifahamu kweli, nayo kweli itawaweka huru.