John 8:4 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Kisha wakamwuliza Yesu, “Mwalimu! Mwanamke huyu alifumaniwa katika uzinzi.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Wakamwambia Isa, “Mwalimu, huyu mwanamke amekutwa akizini.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Wakamwambia, Mwalimu, mwanamke huyu amefumaniwa alipokuwa akizini.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Wakamwambia Yesu, “Mwalimu, mwanamke huyu amekamatwa akifanya zinaa.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Kisha wakamwuliza Yesu, “Mwalimu! Mwanamke huyu alifumaniwa katika uzinzi.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Kisha wakamwuliza Yesu, “Mwalimu! Mwanamke huyu alifumaniwa katika uzinzi.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Wakamwambia Yesu, “Mwalimu, huyu mwanamke amekutwa akizini.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Wakamwambia Isa, “Mwalimu, huyu mwanamke amekutwa akizini.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Wakamwambia, Mwalimu, mwanamke huyu amefumaniwa alipokuwa akizini.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Kisha wakamwuliza Yesu, “Mwalimu! Mwanamke huyu alifumaniwa katika uzinzi.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kisha wakamwambia: Mfunzi, mwanamke huyu amefumaniwa papo hapo, alipofanya ugoni.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Wakamwambia, Mwalimu, mwanamke huyu amefumaniwa alipokuwa akizini.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
na kumwambia Yesu: “Mwalimu, mwanamuke huyu amekamatwa akizini.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
wakamwambia, Mwalimu, mwanamke huyu amefumaniwa alipokuwa akizini.