John 8:50 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mimi sijitafutii utukufu wangu mwenyewe; yuko mmoja mwenye kuutafuta utukufu huo, naye ni hakimu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Lakini mimi sitafuti utukufu wangu mwenyewe, bali yuko anayetaka kunitukuza, naye ndiye mwamuzi.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Wala mimi siutafuti utukufu wangu; yuko mwenye kutafuta na kuhukumu.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Sijaribu kujitukuza mimi mwenyewe. Yupo mmoja anayetaka kunitukuza. Ndiye hakimu.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Mimi sijitafutii utukufu wangu mwenyewe; yuko mmoja mwenye kuutafuta utukufu huo, naye ni hakimu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mimi sijitafutii utukufu wangu mwenyewe; yuko mmoja mwenye kuutafuta utukufu huo, naye ni hakimu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Lakini mimi sitafuti utukufu wangu mwenyewe, bali yuko anayetaka kunitukuza, naye ndiye mwamuzi.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Lakini mimi sitafuti utukufu wangu mwenyewe, bali yuko anayetaka kunitukuza, naye ndiye mwamuzi.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Wala mimi siutafuti utukufu wangu; kuna yule autafutaye na ndiye hakimu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mimi sijitafutii utukufu wangu mwenyewe; yuko mmoja mwenye kuutafuta utukufu huo, naye ni hakimu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Lakini mimi sitafuti, nitukuzwe. Yuko anayevitafuta na kuhukumu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Wala mimi siutafuti utukufu wangu; yuko mwenye kutafuta na kuhukumu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mimi sijitafutii sifa yangu mwenyewe, lakini kuna mumoja anayeitafuta kwa ajili yangu, naye ndiye mwenye uwezo wa kuhukumu.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Nami siutafuti ntukufu wangu; yuko atafutae na kuhukumu.