John 9:29 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Sisi tunajua kwamba Mungu alisema na Mose, lakini mtu huyu hatujui ametoka wapi!”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Tunajua kwamba Mungu alisema na Musa, lakini mtu huyu hatujui anakotoka.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Sisi tunajua ya kuwa Mungu alisema na Musa; bali yule hatujui atokako.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Tunafahamu kwamba Mungu alisema na Musa. Lakini wala hatujui huyu mtu anatoka wapi!”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Sisi tunajua kwamba Mungu alisema na Mose, lakini mtu huyu hatujui ametoka wapi!”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Sisi tunajua kwamba Mungu alisema na Mose, lakini mtu huyu hatujui ametoka wapi!”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Tunajua kwamba Mungu alisema na Mose, lakini kwa habari ya mtu huyu hatujui atokako.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Tunajua kwamba Mungu alisema na Musa, lakini kwa habari ya mtu huyu hatujui atokako.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Sisi tunajua ya kuwa Mungu alisema na Musa; bali yule hatujui atokako.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Sisi tunajua kwamba Mungu alisema na Mose, lakini mtu huyu hatujui ametoka wapi!”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Sisi tunajua, ya kuwa Mungu alisema na Mose, lakini huyo hatumjui, alikotoka.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Sisi tunajua ya kuwa Mungu alisema na Musa; bali yule hatujui atokako.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Tunajua kwamba Mungu alisema na Musa, lakini hatujui pahali mutu yule anapotoka!”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Sisi twajua ya kuwa Mungu alisema na Musa, bali huyo hatujui atokako.