John 9:32 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Tangu mwanzo wa ulimwengu haijasikika kwamba mtu ameyafumbua macho ya mtu aliyezaliwa kipofu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Tangu zamani hatujasikia kwamba mtu amemponya yeyote aliyezaliwa kipofu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Tokea hapo haijasikiwa ya kuwa mtu ameyafumbua macho ya kipofu, ambaye alizaliwa hali hiyo.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Hii ni mara ya kwanza kuwahi kusikia kwamba mtu ameponya macho ya mtu aliyezaliwa asiyeona.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Tangu mwanzo wa ulimwengu haijasikika kwamba mtu ameyafumbua macho ya mtu aliyezaliwa kipofu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Tangu mwanzo wa ulimwengu haijasikika kwamba mtu ameyafumbua macho ya mtu aliyezaliwa kipofu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Tangu kuumbwa kwa ulimwengu hatujasikia kwamba mtu amemponya ye yote aliyekuwa kipofu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Tangu zamani hatujasikia kwamba mtu amemponya yeyote aliyezaliwa kipofu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Tokea hapo haijasikiwa ya kuwa mtu ameyafumbua macho ya mtu, ambaye alizaliwa kipofu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Tangu mwanzo wa ulimwengu haijasikika kwamba mtu ameyafumbua macho ya mtu aliyezaliwa kipofu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Tangu hapo kale haijasikiwa, ya kuwa mtu aliyafumbua macho ya mtu aliyezaliwa kipofu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Tokea hapo haijasikiwa ya kuwa mtu ameyafumbua macho ya kipofu, ambaye alizaliwa hali hiyo.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Hatujasikia wakisema hata siku moja kwamba kuna mutu aliyeponyesha macho ya mutu aliyezaliwa kipofu.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Tangu awali haijasikiwa ya kuwa mtu ameyafumbua macho ya kipofu aliyezaliwa hali hii.