Jonah 2:10 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Basi, Mwenyezi-Mungu akamwamuru yule samaki, naye akamtapika Yona kwenye nchi kavu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Basi Mwenyezi Mungu akamwamuru yule samaki, naye akamtapika Yona katika nchi kavu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Bwana akasema na yule samaki, naye akamtapika Yona pwani.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Basi, Mwenyezi-Mungu akamwamuru yule samaki, naye akamtapika Yona kwenye nchi kavu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Basi BWANA akamwamuru yule nyangumi, naye akamtapika Yona katika nchi kavu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Basi bwana akamwamuru yule nyangumi, naye akamtapika Yona katika nchi kavu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
BWANA akasema na yule samaki, naye akamtapika Yona katika pwani.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Basi, Mwenyezi-Mungu akamwamuru yule samaki, naye akamtapika Yona kwenye nchi kavu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
lakini mimi nitapaza sauti za kukushukuru, ziwe ng'ombe zangu za tambiko, nitakazokutolea, nayo, niliyokuapia na niyalipe! Wokovu uko kwake Bwana.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
BWANA akasema na yule samaki, naye akamtapika Yona pwani.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Lakini mimi, kwa wimbo wa shukrani, nitakutolea sadaka, na kutimiza viapo vyangu. Yawe, ndiye anayeokoa.