Jonah 2:5 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Maji yalinizunguka na kunisonga; kilindi kilinifikia kila upande, majani ya baharini yakanifunika kichwa.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Maji yaliyonimeza yalinitisha, kilindi kilinizunguka; mwani ulijisokota kichwani pangu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Maji yalinizunguka, hata nafsini mwangu; Vilindi vilinizunguka; Mwani ulikizinga kichwa changu;
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Maji yalinizunguka na kunisonga; kilindi kilinifikia kila upande, majani ya baharini yakanifunika kichwa.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Maji yaliyonimeza yalinitisha, kilindi kilinizunguka; mwani ulijisokota kichwani pangu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Maji yaliyonimeza yalinitisha, kilindi kilinizunguka; mwani ulijisokota kichwani pangu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Maji yalinizunguka, hata nafsini mwangu; Vilindi vilinizunguka; Mwani ulikizinga kichwa changu;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Maji yalinizunguka na kunisonga; kilindi kilinifikia kila upande, majani ya baharini yakanifunika kichwa.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Nami nikawaza kwamba: Nimetupwa, nisitokee tena machoni pako, nitawezaje kuliona tena Jumba lako takatifu?
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Maji yalinizunguka, hata nafsini mwangu; Vilindi vilinizunguka; Mwani ulikizinga kichwa changu;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Nilizani kwamba nimetupwa mbali nawe; nisiweze kuliona tena hekalu lako takatifu.