Jonah 3:9 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Huenda Mungu akabadili nia yake, akaacha kutukasirikia, tusije tukaangamia!”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Ni nani ajuaye? Huenda Mungu akaghairi kwa huruma yake akaacha hasira yake kali ili tusiangamie.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Ni nani ajuaye kwamba Mungu hatageuka na kughairi, na kuiacha hasira yake kali, ili msiangamizwe?
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Huenda Mungu akabadili nia yake, akaacha kutukasirikia, tusije tukaangamia!”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Ni nani ajuaye? Huenda Mungu akaghairi kwa huruma yake akaacha hasira yake kali ili tusiangamie.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Ni nani ajuaye? Huenda Mungu akaghairi kwa huruma yake akaacha hasira yake kali ili tusiangamie.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Ni nani ajuaye kwamba Mungu hatageuka na kughairi, na kuiacha hasira yake kali, ili msiangamizwe?
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Huenda Mungu akabadili nia yake, akaacha kutukasirikia, tusije tukaangamia!”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Labda ndivyo, Mungu atakavyogeuza moyo, ayaache makali yake yenye moto, tusiangamie.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Ni nani ajuaye kwamba Mungu hatageuka na kughairi, na kuiacha hasira yake kali, ili msiangamizwe?
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Labda Mungu atabadilisha nia yake, na kuacha kutukasirikia, nasi hatutaangamizwa!