Joshua 1:13 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
“Kumbukeni lile jambo ambalo Mose, mtumishi wa Mwenyezi-Mungu, aliwaamuru akisema, ‘Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu, atawapa mahali pa kupumzika, na atawapa nchi hii’.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
“Kumbukeni agizo lile Musa mtumishi wa Mwenyezi Mungu alilowapa: ‘Mwenyezi Mungu, Mungu wenu, anawapa ninyi utulivu kwa kuwapa nchi hii.’
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Likumbukeni neno lile alilowaamuru Musa mtumishi wa Bwana, akisema, Bwana, Mungu wenu, anawapa ninyi raha, naye atawapa nchi hii.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
“Kumbukeni lile jambo ambalo Mose, mtumishi wa Mwenyezi-Mungu, aliwaamuru akisema, ‘Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu, atawapa mahali pa kupumzika, na atawapa nchi hii’.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
“Kumbukeni agizo lile Mose mtumishi wa BWANA alilowapa: ‘BWANA Mungu wenu anawapa ninyi raha, naye amewapa nchi hii.’
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
“Kumbukeni agizo lile Musa mtumishi wa bwana alilowapa: ‘ bwana Mwenyezi Mungu wenu anawapa ninyi raha, naye amewapa nchi hii.’
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Likumbukeni neno lile alilowaamuru Musa mtumishi wa BWANA, akisema, BWANA, Mungu wenu, anawapa ninyi raha, naye atawapa nchi hii.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
“Kumbukeni lile jambo ambalo Mose, mtumishi wa Mwenyezi-Mungu, aliwaamuru akisema, ‘Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu, atawapa mahali pa kupumzika, na atawapa nchi hii’.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Likumbukeni lile neno, Mose, mtumishi wa Bwana, alilowaagiza kwamba: Bwana Mungu enu atawapatia kutulia na kuwapa ninyi nchi hii.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Likumbukeni neno lile alilowaamuru Musa mtumishi wa BWANA, akisema, BWANA, Mungu wenu, anawapa ninyi raha, naye atawapa nchi hii.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
“Mukumbuke lile jambo ambalo Musa, mutumishi wa Yawe, aliwaamuru akisema: ‘Yawe, Mungu wenu, atawapa pahali pa kupumzika, na atawapa inchi hii’.