Joshua 16:9 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
pamoja na miji na vijiji ambavyo waliongezewa kutoka kwenye nchi ya kabila la Manase.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Pia ulijumuisha miji yote na vijiji vyake ambavyo vilitengwa kwa ajili ya Waefraimu ndani ya urithi wa kabila la Manase.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
pamoja na ile miji iliyotengwa kwa ajili ya wana wa Efraimu katikati ya urithi wa hao wana wa Manase, miji yote pamoja na vijiji vyake.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
pamoja na miji na vijiji ambavyo waliongezewa kutoka kwenye nchi ya kabila la Manase.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Pia ulijumuisha miji yote na vijiji vyake ambavyo vilitengwa kwa ajili ya Waefraimu ndani ya urithi wa kabila la Manase.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Pia ulijumuisha miji yote na vijiji vyake ambavyo vilitengwa kwa ajili ya Waefraimu ndani ya urithi wa kabila la Manase.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
pamoja na ile miji iliyotengwa kwa ajili ya wana wa Efraimu katikati ya urithi wa hao wana wa Manase, miji yote pamoja na vijiji vyake.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
pamoja na miji na vijiji ambavyo waliongezewa kutoka kwenye nchi ya kabila la Manase.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Tena wana wa Efuraimu walikuwa na miji waliyowekewa katikati ya fungu la wana wa Manase, nayo miji hiyo ilikuwa pamoja na mitaa yao.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
pamoja na ile miji iliyotengwa kwa ajili ya wana wa Efraimu katikati ya urithi wa hao wana wa Manase, miji yote pamoja na vijiji vyake.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
pamoja na miji na vijiji ambavyo waliongezewa kutoka kwenye inchi ya kabila la Manase.