Joshua 19:35 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Miji yao iliyokuwa na ngome ni Zidimu, Zeri, Hamathi, Rakathi, Kinerethi,
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Miji yenye ngome ilikuwa Sidimu, Seri, Hamathi, Rakathi, Kinerethi,
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Na miji yenye boma ilikuwa ni hii, Sidimu, na Seri, na Hamathi, na Rakathi, na Kinerethi;
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Miji yao iliyokuwa na ngome ni Zidimu, Zeri, Hamathi, Rakathi, Kinerethi,
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Miji yenye ngome ilikuwa Sidimu, Seri, Hamathi, Rakathi, Kinerethi,
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Miji yenye ngome ilikuwa Sidimu, Seri, Hamathi, Rakathi, Kinerethi,
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Na miji yenye boma ilikuwa ni hii, Sidimu, Seri, Hamathi, Rakathi, Kinerethi;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Miji yao iliyokuwa na ngome ni Zidimu, Zeri, Hamathi, Rakathi, Kinerethi,
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Miji yenye maboma ilikuwa: Sidimu, Seri na Hamati, Rakati na Kinereti (Genezareti),
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Na miji yenye boma ilikuwa ni hii, Sidimu, na Seri, na Hamathi, na Rakathi, na Kinerethi;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Miji yao iliyokuwa na kuta ni: Zidimu, Zeri, Hamati, Rakati, Kinereti, Adama, Rama, Hazori, Kedesi, Edirei, Eni-Hazori, Ironi, Migdali-Eli, Horemu, Beti-Anati na Beti-Semesi. Jumla ya miji waliyopewa ni kumi na tisa pamoja na vijiji vyake.