Joshua 2:17 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Hao watu wakamwambia, “Sisi tutalitimiza kabisa jambo ulilotufanya tuahidi kwa kiapo.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Wale watu wakamwambia, “Hiki kiapo ulichotuapisha hakitatufunga,
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Wale wanaume wakamwambia, Sisi tunataka tusiwe na hatia kwa ajili ya kiapo hiki ulichotuapisha.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Hao watu wakamwambia, “Sisi tutalitimiza kabisa jambo ulilotufanya tuahidi kwa kiapo.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Wale watu wakamwambia, “Hiki kiapo ulichotuapisha hakitatufunga,
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Wale watu wakamwambia, “Hiki kiapo ulichotuapisha hakitatufunga,
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Wale wanaume wakamwambia, Sisi tunataka tusiwe na hatia kwa ajili ya kiapo hiki ulichotuapisha.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Hao watu wakamwambia, “Sisi tutalitimiza kabisa jambo ulilotufanya tuahidi kwa kiapo.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Wale watu wakamwambia: Kwa ajili ya hicho kiapo, ulichotuapisha, hatutakora manza,
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Wale wanaume wakamwambia, Sisi tunataka tusiwe na hatia kwa ajili ya kiapo hiki ulichotuapisha.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Hao watu wakamwambia: “Sisi tutalitimiza kabisa jambo ulilotufanyia tunaahidi kwa kiapo.