Joshua 21:36 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Katika eneo la kabila la Reubeni walipewa Bezeri pamoja na mbuga zake za malisho, Yahazi pamoja na mbuga zake za malisho,
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
kutoka kabila la Reubeni, walipewa: Bezeri, Yahasa,
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Tena katika kabila ya Reubeni, Bezeri pamoja na malisho yake, na Yahasa pamoja na malisho yake,
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Katika eneo la kabila la Reubeni walipewa Bezeri pamoja na mbuga zake za malisho, Yahazi pamoja na mbuga zake za malisho,
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
kutoka katika kabila la Reubeni walipewa, Bezeri, Yahazi,
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
kutoka kabila la Reubeni walipewa Bezeri, Yahasa,
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Tena katika kabila la Reubeni, Bezeri pamoja na mbuga zake za malisho, na Yahasa pamoja na mbuga zake za malisho,
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Katika eneo la kabila la Reubeni walipewa Bezeri pamoja na mbuga zake za malisho, Yahazi pamoja na mbuga zake za malisho,
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Tena kwa shina la Rubeni: Beseri pamoja na malisho yake na Yasa pamoja na malisho yake.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Tena katika kabila ya Reubeni, Bezeri pamoja na malisho yake, na Yahasa pamoja na malisho yake,
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Katika eneo la kabila la Rubeni walipewa Bezeri pamoja na mbuga zake za malisho, Yahazi pamoja na mbuga zake za malisho,