Joshua 24:28 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Halafu Yoshua akawaruhusu watu waondoke; nao wakaenda kila mmoja kwake.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Basi Yoshua akawatuma watu kila mmoja aende katika urithi wake mwenyewe.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Basi Yoshua akawaruhusu watu, wakaenda zao, kila mtu kwenye urithi wake.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Halafu Yoshua akawaruhusu watu waondoke; nao wakaenda kila mmoja kwake.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Basi Yoshua akawatuma watu kila mmoja aende katika urithi wake mwenyewe.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Basi Yoshua akawatuma watu kila mmoja aende katika urithi wake mwenyewe.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Basi Yoshua akawaruhusu watu, wakaenda zao, kila mtu kwenye urithi wake.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Halafu Yoshua akawaruhusu watu waondoke; nao wakaenda kila mmoja kwake.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kisha Yosua akawapa watu ruhusa kwenda kwao kila mtu kwenye fungu lake.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Basi Yoshua akawaruhusu watu, wakaenda zao, kila mtu kwenye urithi wake.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Halafu Yoshua akawaruhusu watu waondoke; nao wakaenda kila mumoja kwake.