Judges 12:13 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Baada ya Eloni, Abdoni mwana wa Hileli kutoka Pirathoni akawa mwamuzi wa Israeli.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Baada yake, Abdoni mwana wa Hileli Mpirathoni akawa mwamuzi wa Israeli.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Baada yake huyo, Abdoni mwana wa Hileli, Mpirathoni, akawa mwamuzi wa Israeli.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Baada ya Eloni, Abdoni mwana wa Hileli kutoka Pirathoni akawa mwamuzi wa Israeli.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Baada yake, Abdoni mwana wa Hileli, Mpirathoni, akawa mwamuzi wa Israeli.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Baada yake, Abdoni mwana wa Hileli, Mpirathoni, akawa mwamuzi wa Israeli.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Baada ya Eloni, Abdoni mwana wa Hileli, Mpirathoni, akawa mwamuzi wa Israeli.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Baada ya Eloni, Abdoni mwana wa Hileli kutoka Pirathoni akawa mwamuzi wa Israeli.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Baada yake Abudoni, mwana wa Hileli wa Piratoni, akawa mwamuzi wa Waisiraeli.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Baada yake huyo, Abdoni mwana wa Hileli, Mpirathoni, akawa mwamuzi wa Israeli.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Nyuma ya Eloni, Abudoni mwana wa Hileli wa muji wa Piratoni akakuwa mwamuzi wa Israeli.