Judges 12:8 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Baada ya Yeftha, Ibzani kutoka Bethlehemu akawa mwamuzi wa Israeli.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Baada yake, Ibzani wa Bethlehemu akawa mwamuzi wa Israeli.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Baada yake huyo, Ibzani wa Bethlehemu akawa mwamuzi wa Israeli.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Baada ya Yeftha, Ibzani kutoka Bethlehemu akawa mwamuzi wa Israeli.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Baada yake, Ibzani wa Bethlehemu akawa mwamuzi wa Israeli.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Baada yake, Ibzani wa Bethlehemu akawa mwamuzi wa Israeli.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Baada ya Yeftha, Ibzani wa Bethlehemu akawa mwamuzi wa Israeli.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Baada ya Yeftha, Ibzani kutoka Bethlehemu akawa mwamuzi wa Israeli.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Baada yake Ibusani wa Beti-Lehemu akawa mwamuzi wa Waisiraeli.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Baada yake huyo, Ibzani wa Bethlehemu akawa mwamuzi wa Israeli.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Nyuma ya Yefuta, Ibusani wa muji wa Betelehemu akakuwa mwamuzi wa Israeli.