Judges 14:1 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Siku moja, Samsoni aliteremka na kwenda Timna ambako alimwona msichana mmoja Mfilisti.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Samsoni akateremka Timna, na huko akamwona mwanamke Mfilisti.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Samsoni akatelemkia Timna, akaona mwanamke huko Timna, mmojawapo wa binti za Wafilisti.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Siku moja, Samsoni aliteremka na kwenda Timna ambako alimwona msichana mmoja Mfilisti.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Samsoni akatelemkia Timna, akamwona mwanamke wa Kifilisti.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Samsoni akateremkia Timna, akamwona mwanamke wa Kifilisti.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Samsoni akateremka hadi Timna, akaona mwanamke huko Timna, mmojawapo wa mabinti za Wafilisti.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Siku moja, Samsoni aliteremka na kwenda Timna ambako alimwona msichana mmoja Mfilisti.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Samusoni alipotelemka kwenda Timuna akaona huko Timuna mwanamke kwao vijana wa kike wa Wafilisti.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Samsoni akatelemkia Timna, akaona mwanamke huko Timna, mmojawapo wa binti za Wafilisti.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Siku moja, Samusoni aliteremuka na kwenda Timuna ambako alimwona binti mumoja Mufilistini.