Judges 15:20 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Samsoni alikuwa mwamuzi wa Waisraeli kwa miaka ishirini, nyakati za Wafilisti.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Samsoni akawa mwamuzi wa Waisraeli katika siku za Wafilisti kwa muda wa miaka ishirini.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Naye akawa mwamuzi wa Israeli: katika siku za Wafilisti muda wa miaka ishirini.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Samsoni alikuwa mwamuzi wa Waisraeli kwa miaka ishirini, nyakati za Wafilisti.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Samsoni akawa mwamuzi wa Waisraeli katika siku za Wafilisti kwa muda wa miaka ishirini.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Samsoni akawa mwamuzi wa Waisraeli katika siku za Wafilisti kwa muda wa miaka ishirini.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Naye akawa mwamuzi wa Israeli: katika siku za Wafilisti muda wa miaka ishirini.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Samsoni alikuwa mwamuzi wa Waisraeli kwa miaka ishirini, nyakati za Wafilisti.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Akawa mwamwuzi wa Waisiraeli miaka 20 siku zile za Wafilisti.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Naye akawa mwamuzi wa Israeli: katika siku za Wafilisti muda wa miaka ishirini.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Samusoni akakuwa mwamuzi wa Waisraeli kwa miaka makumi mbili, nyakati za Wafilistini.