Judges 15:9 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Wafilisti wakaja, wakapiga kambi yao nchini Yuda na kuushambulia mji wa Lehi.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Wafilisti wakapanda na kupiga kambi huko Yuda na kuenea huko Lehi.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Basi Wafilisti wakapanda wakapiga kambi yao katika Yuda, wakajieneza katika Lehi.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Wafilisti wakaja, wakapiga kambi yao nchini Yuda na kuushambulia mji wa Lehi.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Wafilisti wakapanda na kupiga kambi huko Yuda na kuenea huko Lehi.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Wafilisti wakapanda na kupiga kambi huko Yuda na kuenea huko Lehi.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Basi Wafilisti wakapanda wakapiga kambi yao katika Yuda, wakashambulia Lehi.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Wafilisti wakaja, wakapiga kambi yao nchini Yuda na kuushambulia mji wa Lehi.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kisha Wafilisti wakapanda, wakapiga makambi katika nchi ya Yuda, wakajieneza huko Lehi.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Basi Wafilisti wakapanda wakapiga kambi yao katika Yuda, wakajieneza katika Lehi.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Wafilistini wakakuja, wakapiga kambi yao katika inchi ya Yuda na kuushambulia muji wa Lehi.