Judges 17:1 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Kulikuwa na mtu mmoja huko katika milima ya Efraimu, jina lake Mika.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Palikuwa na mtu aliyeitwa Mika kutoka nchi ya vilima ya Efraimu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Wakati huo alikuwako mtu mmoja wa nchi ya vilima ya Efraimu, ambaye jina lake alikuwa akiitwa Mika.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Kulikuwa na mtu mmoja huko katika milima ya Efraimu, jina lake Mika.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Palikuwa na mtu aliyeitwa Mika ambaye aliishi katika vilima vya Efraimu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Palikuwa na mtu aliyeitwa Mika ambaye aliishi katika vilima vya Efraimu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Wakati huo alikuwako mtu mmoja wa nchi ya vilima ya Efraimu, aliyeitwa Mika.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Kulikuwa na mtu mmoja huko katika milima ya Efraimu, jina lake Mika.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Milimani kwa Efuraimu kulikuwa na mtu, jina lake Mika.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Wakati huo alikuwako mtu mmoja wa nchi ya vilima ya Efraimu, ambaye jina lake alikuwa akiitwa Mika.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kulikuwa mutu mumoja kule katika milima ya Efuraimu, jina lake Mika.