Judges 3:30 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Siku hiyo Waisraeli wakawashinda Wamoabu. Nchi ikawa na amani kwa muda wa miaka themanini.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Siku ile Moabu wakashindwa na Israeli, nayo nchi ikawa na amani kwa miaka themanini.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Basi Moabu alishindwa siku hiyo chini ya mikono ya Israeli. Nayo nchi ikawa na amani muda wa miaka themanini
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Siku hiyo Waisraeli wakawashinda Wamoabu. Nchi ikawa na amani kwa muda wa miaka themanini.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Siku ile Moabu wakashindwa na Israeli, nayo nchi ikawa na amani kwa miaka themanini.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Siku ile Moabu wakashindwa na Israeli, nayo nchi ikawa na amani kwa miaka themanini.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Basi Moabu alishindwa siku hiyo chini ya mikono ya Israeli. Nayo nchi ikawa na amani muda wa miaka themanini.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Siku hiyo Waisraeli wakawashinda Wamoabu. Nchi ikawa na amani kwa muda wa miaka themanini.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Siku hiyo Wamoabu wakanyenyekezwa kuwa chini ya mikono ya Waisiraeli; ndipo, nchi ilipopata kutulia miaka 80.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Basi Moabu alishindwa siku hiyo chini ya mikono ya Israeli. Nayo nchi ikawa na amani muda wa miaka themanini
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Siku hiyo Waisraeli wakawashinda Wamoabu. Inchi ikakuwa na amani kwa muda wa miaka makumi nane.