Lamentations 3:10 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Yeye ni kama dubu anayenivizia; ni kama simba aliyejificha.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kama dubu aviziaye, kama simba mafichoni,
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Alivyo kwangu ni kama dubu aoteaye, Kama simba aliye mafichoni.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Yeye ni kama dubu anayenivizia; ni kama simba aliyejificha.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kama dubu aviziaye, kama simba mafichoni,
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kama dubu aviziaye, kama simba mafichoni,
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Alivyo kwangu ni kama dubu aoteaye, Kama simba aliye mafichoni.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Yeye ni kama dubu anayenivizia; ni kama simba aliyejificha.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Yeye akaniwia kama nyegere aoteaye au kama simba aliomo mafichoni.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Alivyo kwangu ni kama dubu aoteaye, Kama simba aliye mafichoni.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Alikuwa kwangu kama dubu anayevizia, kama simba katika maficho.